MAELEZO YA KOZI
Kozi hii inagawanyika katika sura tisa zitakazomwezesha mwanafunzi kuelewa vyema na kumudu stadi zote za lugha ambazo ni :
§ Kuzungumza, kusikiliza, kusoma kuandika.
§ Kueleza asili ya Kiswahili
§ Kueleza aina za lugha na sifa zake.
- Teacher: Concessa Mukashema